Mathayo 7:13-14
"Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba. Maana mlango ni mpana, na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo. Lakini mlango ni mwembamba, na njia iliyosonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache."
"Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba. Maana mlango ni mpana, na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo. Lakini mlango ni mwembamba, na njia iliyosonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache."