top of page

Mathayo 3:1-3

  • Siku zile alikuja Yohana Mbatizaji akihubiri katika nyika ya Uyahudi, akisema, Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia. Huyu ndiye aliyenenwa na nabii Isaya, akisema, Sauti ya mtu aliaye nyikani, Mtengenezeni Bwana njia, mnyoshee mapito yake.

Inaendeshwa na kulindwa na Wix

bottom of page